“TOA FUNGU LA ALFU KUMI UPATE KUOMBEWA “. HIZI NDIZO SEMI KUTOKA KWA VINYWA VYA BAADHI YA WACHUNGAJI WENGI HAPA NCHINI KWA WANAKONDOO WAO AMBAO WANATUMIKIA. ASHAKUM SI MATUSI ILA NIKISEMA HII NI NJIA MOJA YA WIZI AU NISEME VIPI. NINALOFAHAMU NI KWAMBA MAOMBI NI YA BURE KWANI MTU HUTOA SHUKRANI KWA MWENYEZI MUNGU KWA HIARI WALA SI KULAZIMISHWA ,KUMAANISHA MOYO UMEPENDA NA UKAKUBALI KUWA HIKI NILICHO NACHO MKONONI NAKITOA NIKIWA MWENYE FURAHA MBELE YA MADHABAO. NISEME NI KINAYA AU VINAYA KWANI MHUMINI ANISHI KWENYE NYUMBA YA MATOPE NA SI MATOPE TU KINGA YA JUU NI NYASI ZILIZOISHI MIAKA YAKE NA ZINAHITAJI KUTOLEWA ,MVUA IKINYESHA HANA MAHALA PA KUJIKINGA HIVYO INAMLAZIMU KIKIMBILIA KWA JIRANI ,NAE MCHUNGA KONDOO ANAISHI KWA NYUMBA ZA KIFALME.DAAH!! KONDOO ANAKUPA NGOZI ,NYAMA NA FAIDA ZINGINE LAKINI WEWE MCHUNGAJI HUNA HATA MUDA WA KUDHIBITISHA MAHALA AMBAPO KONDOO WAKO ANAISHI?. MTANIMALIZA JAMANI. ILISHANENWA TOKA ENZI ZILE YA KWAMBA WATAKUJA WENGI WASIO WA UKWELI KWA JINA...
Alaaah io ya tatuπ
ReplyDeleteWoollan bro
DeleteNice one
ReplyDeleteGood job
ReplyDeleteWell documented
ReplyDeleteπtrue men don't love
ReplyDeleteEti what?ha!ha!ha!
ReplyDeleteMen know how to love
ReplyDeleteNice
ReplyDeleteYooo πππ
ReplyDeleteAlaah... How can they protect something they don't loveππ
ReplyDeleteI wonder tooππ
DeleteLovely
ReplyDeleteushatuvunja moyo πin who 's hands are we safe? !
ReplyDeleteEiiish on point
ReplyDeleteso loud .gt u
ReplyDeleteEeennnhheee
ReplyDeletenyc bro
ReplyDeleteWueeh...πππ
ReplyDeleteOkay @Victriano
ReplyDeleteWhere have you been all my life
ReplyDelete